SUA BRD

KWA HABARI ZA ELIMU ,MICHEZO NA BURUDAN

Labels

  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • ELIMU
  • KILIMO
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • MATUKIO
  • MICHEZO
  • SIASA
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts

Sunday, 1 October 2017

VIDEO KALI ZA KIBONGO

Videos

Home Videos
Videos

VIDEO: Nuh Mziwanda – Bao La Ushindi

Yinga Boy -
September 29, 2017
WATCH VIDEO
Videos

VIDEO: Stephanie Ghaida Ft Mr P (Psquare) – Tonight

Yinga Boy -
September 29, 2017
Stephanie Ghaida teams up with peter okoye also known as “Mr P” of psquare as they deliver this song, titled “Tonight” Watch and enjoy!! WATCH VIDEO
Videos

VIDEO: Iyanya Ft. Ladipoe – Not Forgotten


  • VIDEO: Diamond Platnumz ft Morgan Heritage - Hallelujah
  • Download Audio: Dullayo Ft. Beka Flavour - CARO
  • Download Audio: Barnaba - Nampaga

            
Posted by Unknown at 04:26 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: BURUDANI

NYIMBO KALI ZA BONGO

Audios

Download Audio: SAYO classic – Nasema Nawe

Yinga Boy -
September 28, 2017
123...190Page 1 of 19Top 5 (FiveAudio: Diamond Platnumz ft Morgan HeritahDownlo Audio: Madee ft. Nandy - SEMAVIDEO:Download Audio: Dullayo Ft. Beka Flavour - CARO

  • Download Audio: Barnaba - Nampaga


Posted by Unknown at 04:04 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: BURUDANI

Kituo cha Radio chafungiwa

Kituo CCIB FM+ cha radio nchini Burundi kimefungiwa kwa muda baada ya kukosoa serikali kufuatia mauaji ya warundi wakimbizi nchini Jamuhuri ya demokrasia ya Congo.

CCIB FM+, cha nchini Burundi mapema mwezi huu kilitoa taarifa za kukosoa mwenendo wa serikali baada ya mauaji ya warundi 36 katika maandamano ya sept 15 nchini Drc ambayo pia askari mmoja wa Drc aliuawa.

Mkurugenzi na muhariri Eddy Claude Nininahazwe aliiambia AFP kuwa kituo kimezuiwa kwa kutangaza ukimya wa serikali baada ya mauaji ya warundi.

Katika taarifa ya serikali baraza la habari lilidai kituo hiko kimefanya ukiukwaji wa maadili ya taaluma ya habari na sheria zinazosimamia vyombo vya habari na kukiamuru kuzima mitambo yake kwa miezi mitatu kuanzia jumatatu.

Nininahazwe amelaani hatua hiyo akijitetea kituo chake hakikuvunja sheria yoyote. 
Posted by Unknown at 01:03 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: BURUDANI

Nyumba ya Prof Jay yabomolewa na hii ndo kauli yake

Mbunge wa Mikumi kupitia CHADEMA ambaye pia ni msanii mkongwe wa bongo fleva Prof Jay, kwa Mara ya kwanza ametoa ya moyoni baada ya nyumba yake kubomolewa na TANROADS

Kwenye ukurasa wake wa instagram Prof Jay ameandika ujumbe akisema amejifunza kumshukuru Mungu, huku akuonyeshwa kushangazwa na kitendo cha serikali kutoheshimu uamuzi wa mahakama kama mhimili wa nchi.

"Sijawahi kuumia kiasi hiki, nimesikitishwa sana jinsi Tanroads wanavyoweza kujichukulia maamuzi bila ya kujali mhimili muhimu wa Mahakama wametoa maagizo gani. Na taratibu zilizotumiwa kubomoa nyumba yangu bila ya mimi na Tanesco kupewa taarifa saa kumi na mbili jioni (haukuwa muda wa kazi) na kubomoa huku umeme ukiwa unawaka ni kitendo ambacho kwanza kina hatarisha maisha ya wabomoaji wenyewe, maisha ya familia yangu pamoja na majirani zangu , limenisikitisha zaidi", ameandika Prof. Jay.

Kwa mujibu wa Prof Jay nyumba yake imebomolewa Septemba 29,2017, na hakufanikiwa kuokoa kitu chochote ambacho kilikuwemo. 
Posted by Unknown at 00:39 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: BIASHARA, BURUDANI, KILIMO, MAGAZETI, MAKALA, MATUKIO, MICHEZO, SIASA
Home
Subscribe to: Posts (Atom)

About Me

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • HAYA HAPA MAJINA YA WALIOFANIKIWA KUPITA USAILI ULIOFANYIKA VYUO VIKUU NA TCU
    muungwanablog HAYA HAPA MAJINA YA WALIOFANIKIWA KUPITA USAILI ULIOFANYIKA CHUO KIKUU DUCE   Unknown  ...
  • majina yalio ongezeka katika vyuo mbali mbali haya hapa kupata tembelea SUABRD123.BLOGSPOT.COM
    DODOMA UNVERSITY LIST OF STUDENT SELECTED DEGREE PROGRAM 2017/2018 October 06, 2017 Ili kuona majina bifya hapa<<...
  • THE UNIVERSITY OF DODOMA. SELECTED APPLICANTS FOR ADMISSION INTO NON -DEGREE PROGRAMMES (2017-2018)
    Haya hapa majina ya wanafunzi walio chaguliwa  <<BOFYA HAPA>>
  • KUWA WAKWANZA KUPATA MAJINA YA WANAFUNZI WA NYUO VIKUU VYUO VYOTE
    LIST OF APPLICANTS SELECTED TO UNDERTAKE POSTGRADUATE STUDIES FOR 2017/2018 ACADEMIC YEAR – FIRST AND SECOND BATCHsuabrd123.blogspot.com ...
  • BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI ALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU RUAHA UNIVERSITY-RUCU 2017/2018 KWA KOZI ZA DIGRII Unknown 09:45:00 No comments
      Unknown       09:45:00       No comments     LIST OF SELECTED APPLICANTS TO JOIN VARIOUS DEGREE PROGRAMMES (2017/2018) The list of ...
  • IMPORTANT ANNOUNCEMENT FROM TCU FOR ALL CANDIDATES CLICK HERE
    VIDEO - KICHUPA KIPYA CHA RUIZANO KUPENDA BASI HIKI HAPA October 07, 2017 TAZAMA  KICHUPA KIPYA KABISA KUTOKA KWA RUIZANO ...
  • KUPATA VYUO VINGINE click here
    HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA CHUO KIKUU MUM NA MAKUMIRA 2017/2018 MUISLIM UNVERSITY OF MOROGORO Selected Candidat...
  • VIDEO KALI ZA KIBONGO
    Videos Home Videos Videos VIDEO:...
  • NYIMBO KALI ZA BONGO
    Audios Download Audio: SAYO classic – Nasema Nawe Yinga Boy - September 28, 2017 1 2 3 ... 190 Pag...
  • SOMA MAKALA HIZI UPATE MAARIFA ZAIDI
    Showing posts with label Makala . Show all posts Ifahamu Misingi Hii Ya Kuilea Ndoto Yako ili Uweze Kufanikiwa...
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.